Professional Documents
Culture Documents
haikueleza
ni
stahiki
gani
na
malimbikizo
gani
ndio
yaliyotusukuma
kuandika
barua
hii
kwako
kwasababu
hayakuridhisha.
Tunashindwa kuamini kama leo hii tumekuwa watu wakulilia haki halali inayotokana
na jasho letu ndani ya nchi hii iliyokwisha pata uhuru. Tunatambua kuwa nchi hii
inaendeshwa katika misingi ya sheria na kusimamia haki ya kila mwananchi kama
katiba yetu ya mwaka 1977 ilivyoamuru, lakini Mh. Rais haya yanayoonekana mbele
yetu ni kinyume na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Ujira ni sehemu halali
tunayostahili kulipwa kutokana na jasho letu. Mtu yoyote katika meza yako akinywa
kikombe hiki hatasita kupaza sauti.
Mheshimiwa Rais, sisi tunarudi mtaani kupambana na ule utaratibu wako kuwa
vijana wazururaji wasio na kazi wakamatwe. Tunaomba tilipwe stahiki zetu mapema
tunazodai kutokana na jasho letu halali.
Mheshimiwa Rais, sisi wengi wetu hapa ni vijana tuliohitimu baadhi ya vyuo vikuu
hapa nchini, kazi hii ingetuwezesha kurejesha mikopo tunayodaiwa na bodi ya
mikopo kama sera mpya ya Bodi ya mikopo zinavyoagiza, pia Mheshimiwa Rais
umekua ukisikika kwenye nyumba za ibada na kwenye mikutano mbalimbali
ukisema " Asiyefanya kazi na asile", lakini kwetu sisi imekua ni tofauti, tumefanya
kazi
bila
mishahara
yetu
kuanzia
mwezi
Januari
hadi
Machi
mwaka
huu
tegemezi katika familia zetu, athari za ujauzito kutoka kutokana na jinsi jambo hili
linavyoendeshwa na mengine mengi. Kilio chetu kikubwa ni malimbikizo ya
mishahara yetu ya miezi 3, yaani kuanzia mwezi wa kwanza mpaka mwezi wa tatu
mwaka huu ajira yetu ilipositishwa, pia stahiki zetu zote zinazotamkwa kisheria
katika kifungu cha 44 cha sheria ya Ajira na Mahusiano ya kazi ya mwaka 2004
inayohusu taratibu za kusitisha mikataba ya Ajira.
Mheshimiwa Rais tunaomba uingilie kati swala hili tuweze kulipwa stahiki zetu na
malimbikizo ya mishahara yetu mapema, ili tuweze kuendesha maisha yetu ambayo
yamekuwa magumu mno, pia tukaendeleze sera yako ya kilimo kwa vijana.
jambo
analolifanya
yeye
pamoja
na
wasaidizi
wake
kueneza
ahadi
zisizotekelezeka kwenye vyombo vya habari ili aaminike anajali wakati ukweli halisi
familia zetu zinashinda njaa na kupitia kipindi kigumu sana.
Tunakupongeza kwa kazi nzuri unayoendelea kufanya katika serikali yako tukufu,
tunatumaini kilio chetu kitakufikia na kuchukua hatua.
Asante.
Imetolewa na sisi