Professional Documents
Culture Documents
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb. Na EA.7/96/01/H/34
23 Januari, 2015
vii.
viii.
ix.
x.
xi.
xii.
xiii.
xiv.
Katibu,
Sekretariati ya Ajira katika
Utumishi wa Umma,
SLP.63100,
Dar es Salaam.
1.0
AU
Secretary,
Public Service Recruitment
Secretariat,
P.O.Box 63100
Dar es Salaam.
1.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.D kwa mwezi.
2.0
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha nne au Sita (VI) wenye stashahada (Diploma)
ya kilimo kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
5.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS C Kwa mwezi.
6.0
MTAKWIMU DARAJA LA II (STATISTICIAN GRADE II) NAFASI 5
6.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kubuni na kuendeleza mfumo wa kitaifa wa kukusanya na kuratibu takwimu
Kutengeneza utaratibu wa kukusanya takwimu pamoja na ule wa kuchukua
takwimu za mfano/vielelezo (Sampling)
Kukusanya, Kuchambua na kuwasilisha takwimu ngazi za juu.
8.0
AFISA VIPIMO DARAJA LA II- NAFASI 1 (INARUDIWA)
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Afisa Mtendaji Mkuu Wakala wa Vipimo (WMA)
1.1.2 MAJUKUMU YA KAZI
1.1.4 MSHAHARA
10.1
10.2
SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya
mwaka mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachitambuliwa na
Serikali ambao wana Cheti cha ufundi Daraja III (Plants Technician Electrical).
10.3
MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.
11.0
SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha VI waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka
mmoja kutoka kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachotambuliwa na
Serikali ambao wana cheti cha ufundi Daraja la III katika fani ya maji.
11.3
MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.
12.0
12.1
12.2
SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye shahada ya uhandisi yenye mwelekeo mkubwa katika fani ya
kilimo cha umwagiliaji kutoka chuo kikuu kinachotambuliwa na serikali.
12.3
MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi
13.0
13.1
13.2
SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye shahada ya uhandisi yenye mwelekeo mkubwa katika fani ya
zana za kilimo kutoka chuo kikuu kinachotambuliwa na serikali.
13.3
MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi
14.0
14.1
14.2
SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye shahada ya uhandisi yenye mwelekeo mkubwa katika fani ya
matumizi bora ya ardhi (land use planning) kutoka chuo kikuu kinachotambuliwa
na serikali.
14.3
MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E wa mwezi
X.M. DAUDI
Secretary
Public Service Recruitment Secretariat