Professional Documents
Culture Documents
OFISI YA RAIS
Simu Na: +255 (026) 2963630 Menejimenti ya Utumishi wa Umma
Nukushi: +255 (026) 2963629 na Utawala Bora,
Barua Pepe: ps@utumishi.go.tz Jengo la Taaluma Na. 1,
Tovuti: http://www.utumishi.go.tz Chuo cha Masomo ya Biashara na Sheria,
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM),
Barabara ya Mkalama,
S.L.P. 670,
40404 DODOMA.
Waziri Kairuki (Mb) amesema hayo leo katika kikao kazi na Watumishi wa
Umma wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala eneo la Segerea, jijini Dar es
Salaam.
Mhe. Kairuki yupo katika ziara ya kikazi katika mkoa wa Dar es salaama
ambapo leo ni siku ya tisa akiwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala-
Segerea kwa kukutana na watumishi wa umma wa kada zote katika vikao kazi.
Waziri Kairuki katika vikao kazi amehimiza watumishi wa umma nchini kubadili
mtindo wa maisha, kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi, kujiepusha na
ugonjwa wa UKIMWI, na Magonjwa Sugu Yasiyoambukizwa (MSY).