Professional Documents
Culture Documents
Tunataka kuwa nchi ya viwanda vya kati ifikapo mwaka 2025, hivyo ni lazima tuwe
na wahandisi, mafundi sanifu na mafundi mchundo wa kutosha watakaofanyakazi kwa
weledi na kumudu ushindani katika soko la ajira, amebainisha Injinia Madete.
Hakikisheni taasisi hii inapata ithibati ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE),
ili kuwawezesha wahitimu wote wa ICoT kupata fursa za kujiendeleza na elimu ya juu.