Professional Documents
Culture Documents
BUNGE LA TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA
__________
Kilichotokea ni kwamba gari hiyo imerudishwa Nchini ili dereva wa gari hilo
afuate taratibu za kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi. Ni vema ieleweke
kuwa ni kweli gari yenye Na. STL. 4587 Aina ya Toyota Prado imetengwa
maalum kwa ajili ya kumuhudumia Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani
Bungeni katika kutekeleza Majukumu yake ya kikazi na binafsi hapa Nchini.
Imetolewana:
Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano
Ofisi ya Bunge
DODOMA
28 Septemba, 2017.