Professional Documents
Culture Documents
Tunawaomba wananchi wajenge tabia ya kupima afya zao mara kwa mara hii
itawasaidia kujuwa kama wanamatatizo ya moyo au la na hivyo kuanza
matibabu mapema. Asilimia kubwa ya wagonjwa tunaowapokea katika kliniki
zetu baada ya kuwafanyiwa vipimo tunawakuta mioyo yao haiko katika hali
nzuri. Hii inaonyesha kuwa wana matatizo ya Moyo pasipo kujifahamu.
Imetolewa na :