Professional Documents
Culture Documents
OFISI YA RAIS
Simu Na: +255 (026) 2963630 Menejimenti ya Utumishi wa Umma
Nukushi: +255 (026) 2963629 na Utawala Bora,
Barua Pepe: ps@utumishi.go.tz Jengo la Taaluma Na. 1,
Tovuti:http://www.utumishi.go.tz Chuo cha Masomo ya Biashara na Sheria,
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM),
Barabara ya Mkalama,
S.L.P. 670,
40404 DODOMA.
Mhe. Mkuchika (Mb) amesema hayo leo alipofanya ziara ya kikazi katika
taasisi anazoziongoza za Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma na
Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), jijini Dar es Salaam.
Mhe. Mkuchika (Mb) ameanza ziara ya kikazi leo katika taasisi zilizo chini
ya Ofisi yake kwa lengo la kujitambulisha na kuzifahamu shughuli
mbalimbali zinazotekelezwa na taasisi hizo ikiwemo kuchukua changamoto
za kufanyia kazi.
IMETOLEWA NA:
KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI,
OFISI YA RAIS-MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA.
TAREHE 16 OKTOBA, 2017