Professional Documents
Culture Documents
PRESS RELEASE
Zanzibar 19.10.2017
Hafla hiyo,ilifanyika Ikulu mjini Zanzibar ambayo imehudhuri na viongozi mbali mbali
wa Serikali akiwemo Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Idd, Mawaziri wa
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Said Hassan
Said, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dk. Abdulhamid Yahya
Mzee.