Professional Documents
Culture Documents
Bi. Senyi Simon Ngaga amechukua nafasi ya Mhandisi Mtemi Msafiri Simeon
ambaye amehamishwa kituo cha kazi na kuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato
Mkoani Geita, baada ya Mkuu wa Wilaya ya Geita aliyeteuliwa hivi karibuni
Kanali Patrick Norbert Songea kwenda kwenye mafunzo ya kijeshi nje ya
nchi.
Uteuzi wa Bi. Senyi Simon Ngaga unaanza leo tarehe 13 Agosti, 2018 na
Wakuu wa Wilaya wote wawili wanatakiwa kuripoti katika vituo vyao vya kazi
mara moja.
1
1. Mkoa wa Arusha.
i. Jiji la Arusha – Dr. Maulid Suleiman Madeni.
ii. Halmashauri ya Wilaya ya Meru – Bw. Emanuel Mkongo.
3. Mkoa wa Dodoma.
i. Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa – Bw. Mustafa S. Yusuph.
ii. Halmashauri ya Mji wa Kondoa – Ndg. Msoleni Juma Dakawa.
iii. Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa – Bw. Paul Mamba Sweya.
iv. Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa – Dkt. Omary A. Nkullo.
4. Mkoa wa Geita.
i. Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale – Bi. Mariam Khatib
Chaurembo.
ii. Halmashauri ya Wilaya ya Chato – Bw. Eliud Leonard
Mwaiteleke (Amehamishiwa kutoka Halmashauri ya Wilaya
ya Misungwi).
5. Mkoa wa Iringa.
i. Halmashauri ya Manispaa ya Iringa – Bw. Hamid Ahmed Njovu
(amehamishiwa kutoka Halmashauri ya Manispaa ya
Sumbawanga).
6. Mkoa wa Kagera.
2
i. Halmashauri ya Wilaya ya Misenyi – Bw. Innocent Mbandwa
Mukandala.
ii. Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba – Bw. Limbe Bernard
Maurice (amehamishiwa kutoka Halmashauri ya Wilaya ya
Misenyi).
iii. Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba – Bw. Solomon O. Kimilike.
7. Mkoa wa Katavi.
i. Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo – Bw. Ramadhan Mohamed.
8. Mkoa wa Kigoma.
ii. Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma – Ndg. Mwailwa Smith
Pangani (Amehamishiwa kutoka Halmashauri ya Wilaya ya
Nsimbo).
iii. Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko – Ndg. Masumbuko
Stephano Magang’hila.
iv. Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma – Bi. Upendo Erick Mangali.
9. Mkoa wa Kilimanjaro.
i. Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga – Ndg. Zefrin Kimolo
Lubuva.
ii. Halmashauri ya Wilaya ya Moshi – Tatu Selemani Kikwete
(Amehamishiwa kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha).
3
i. Halmashauri ya Wilaya ya Musoma – Bw. Kayombo Lipesi John
(Amehamishiwa kutoka Halmashauri ya Manispaa ya
Ubungo).
ii. Halmashauri ya Wilaya ya Butiama – Ndg. Magori Mgalani
Alphonce.
4
16. Mkoa wa Njombe.
i. Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe – Ndg. Edes Philip
Lukoa (Amehamishiwa kutoka Halmashauri ya Wilaya ya
Chalinze).
ii. Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa – Ndg. Sunday Deogratius
George.
5
20. Mkoa wa Shinyanga.
i. Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga – Mrakibu Msaidizi wa
Uhamiaji Hoja Mahiba.
6
kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(TAMISEMI) Jijini Dodoma siku ya Jumatano tarehe 15 Agosti, 2018 kwa ajili
ya kupata maelekezo zaidi kuhusu majukumu yao na kula kiapo cha uadilifu
kwa viongozi wa umma.
Wakurugenzi ambao vituo vyao vya kazi havikutajwa katika mabadiliko haya
wanaendelea na nyadhifa zao katika vituo walivyopo.
Bw. Bendera anatakiwa kuripoti kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti
ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Jijini Dodoma Jumatano tarehe 15
Agosti, 2018 kwa maelezo zaidi, akiwa na vyeti vyake halisi (Originals) vya
elimu ya Sekondari na vya elimu yay a taaluma alizosomea.
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
13 Agosti, 2018