Professional Documents
Culture Documents
BUNGE LA TANZANIA
Tele: +255 026 2322761-5 Ofisiya Bunge
Fax No. +255 026 2324218 S.L.P. 941
E-mail: cna@bunge.go.tz DODOMA.
Kamati ya Bunge ya Bajeti kwa mujibu wa Kanuni ya 117 (9), imepanga kufanya
mkutano wa kusikiliza maoni ya wadau wote wa masuala ya fedha (Public
Hearing) kuhusu Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2019 (The Finance
Bill, 2019).
Katibu wa Bunge,
Ofisi ya Bunge,
S.L.P. 941,
DODOMA.
Baruapepe: cna@bunge.go.tz
17 Juni, 2019.